Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.
 Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Salvatory Machemli (Ukerewe - Chadema) na Danstan Mkapa (Nanyumbu - CCM) wakielezewa na Afisa wa Vodacom Tanzania Bi.Melinda Siarra,jinsi ya kujiunga na mpango wa malipo ya baada ya kampuni hiyo katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma. Vodacom inaendesha zoezi maalum la kuwahamasisha wabunge kujiunga na mpango wa mteja mmoja mmoja wa malipo ya baada katika juhudi za kujiimarisha kisoko.
Baadhi ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wakifafanuliwa jambo na Meneja wa wateja wa  Malipo ya baada wa Vodacom Tanzania Bi. Yvone Bayona,jinsi ya kujiunga na mpango wa malipo ya baada ya kampuni hiyo katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma. Vodacom inaendesha zoezi maalum la kuwahamasisha wabunge kujiunga na mpango wa mteja mmoja mmoja wa malipo ya baada katika juhudi za kujiimarisha kisoko.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...