Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi (kulia) akiwa
katika mazungumzo na ugeni kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania
uliomtembelea leo Ofisini kwake ukiongozwa na Balozi Lu Youqing (kushoto) kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya China na Tanzania katika kuimarisha shughuli za Mipango Miji ,Usimamizi wa Matumizi endelevu ya Ardhi .
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi (kulia) akimweleza Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing (kushoto) namna Wizara yake inavyoendelea kuimarisha shughuli za Mipango Miji ,Usimamizi na Matumizi endelevu ya Ardhi katika maeneo mbalimbali nchini.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akimkaribisha Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na China katika masuala ya uendelezaji wa Ardhi na Mipango miji.
No comments:
Post a Comment