Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

SIMBA YATWAA UBINGWA WA MICHUANO YA SUP8R

 Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia na kombe lao baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 4-3 katika mchezo wa fainali ya michuano ya SUP8R uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella  Mh. Dk Fenella Mkangala akiwapa medali wachezaji wa Simba. 
 Wachezaji wa Simba wakimbeba kocha wao Suleiman Matola baada ya mchezo
 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akiwapungia mkono mashabiki wa Simba.
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mh. Dk Fenella Mkangala akimkabidhi kombe nahodha wa Simba, Edward Christopher
 Furaha ya ushindi.
Picha kwa Hisani ya Habari Mseto Blog

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...