Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

FAINALI YA MASHINDANO YA DANCE MIA MIA YALIYOFANYIKA JANA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB

Vimwana wa kundi pekee la akinadada la Tanzania Queens wakishambulia wakati fainali ya mashindano ya Dance Mia Mia yaliyoandaliwa na kituo cha radio na televisheni ya EATV/ Radio kwenye Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam jana.  
TZ Queens
Tanzania Queens wakati wa fainali ya mashindano ya Dance Mia Mia yaliyoandaliwa na kituo cha radio na televisheni ya EATV/ Radio kwenye Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam jana.
Kazi inaendelea kwa TZ Queens
TZ Queens mzigoni
TZ Queens
TZ Queens 
  Kundi la Best Friends likifanya mambo wakati wa fainali ya mashindano ya Dance Mia Mia yaliyoandaliwa na kituo cha radio na televisheni ya EATV/ Radio kwenye Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam jana.Kwa Picha Zaidi BOFYA HAPA. PICHA ZOTE: AMUR HASSAN.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...