Mchezaji Nadir Haroub (kulia) wa Yanga akipiga mpira huku Jaku Juma wa Mafunzo ya Zanzibar akiruka katika mechi ya robo fainali ya kuwania Kombe la Kagame, jioni hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Wachezaji wa Mafinzo ya Zanzibar, wakishangilia bao la kuongoza dhidi ya Yanga
Kelvin Yondani wa Yanga akiruka kuokoa hatari dhidi ya timu ya Mafunzo
No comments:
Post a Comment