Sheha wa Shehia ya Ubago,Wilaya ya Kati Unguja,Mkoa wa Kusini Unguja,Bibi Asha Abeid Suba,akichagia suala la Maji wakati wa Semina ya siku mbili,juu ya Kuimarisha Uhusino baina ya Wanasiasa na Watendaji katika Serikali za Mitaa Zanzibar,iliyoanza leo katika Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,nje ya Mji wa Unguja.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] |
No comments:
Post a Comment