Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

MHARIRI MKUU WA GAZETI LA JAMBO LEO WILLY EDWARD AFARIKI DUNIA GHAFLA..

Habari za kusikitisha kutoka Mkoani Morogoro, Mhariri Mkuu wa gazeti la JAMBO LEO, Bw. WILLIE EDWARD amefariki dunia mjini Morogoro alikokuwa akihudhuria Warsha ya Wahariri. Amefariki usingizini. Chanzo cha kifo kitatolewa na vyombo husika.

Blog hii inaungana na familia ya Marehemu, Wanahabari, Ndugu jamaa na Marafiki wote katika kuomboleza msiba huu wa mpiganaji WE.
Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kuhusiana na msiba huo.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...