Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

WAZIRI NGELEJA AZINDUA BODI YA USHAURI YA MADINI

Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Wiliamu Ngeleja,Akisoma hotuba, Leo katika uzinduzi wa bodi ya ushauri ya madini,uliofanyika katika hotel ya HYATT REGECY jijini Dar es salaam, bodi hiyo itakuwa ikitoa ushauri katika maswala mbalimbali yanayohusu usimamizi wa sekta ya  madini, Ikiwemo  serikali kuingia mikataba na kampuni ya Special Mining Licence(SML) na Retention Licence, Uhuishaji wa leseni za (SMl)
Waziri wa nishati na madini Mhe Wiliamu Ngeleja,Kulia akibadilishana mawazo na mwenyekiti mpya wa bodi ya ushauri wa madini Bwana Richard Kasesela, Katikati Naibu waziri wa wizara hiyo Mhe, Adam Malima.
waziri wa nishati na madini Mhe; Wiliamu Ngeleja,Akiwa katika picha ya pamoja Na kamati mpya ya ushauri wa madini.(Picha na Philimeni Solomoni wa Fullshangwe)

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...