Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU KUFANA, WANANCHI WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI


Uhuru -1

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu  kukamilika kwa maadalizi ya sherehe za miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania Bara zitakazofanyika tarehe 9 Desemba  katika uwanja wa Uhuru  jijini Dar es salaamUhuru -3Uhuru - 2Vikosi vya majeshi ya Ulinzi na Usalama vya Tanzania vikiendelea na maadalizi ya maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru na gwaride maalum leo jijini Dar es salaam.
Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.
Na Aron Msigwa –MAELEZO, Dar es salaam.
 
Zikiwa zimebaki siku mbili Tanzania iadhimishe miaka 52 ya Uhuru, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadick ametoa wito kwa watanzania kusherehekea maadhimisho hayo kwa  kuenzi , kulinda na kudumisha mafanikio makubwa yaliyopatikana  tangu Uhuru.

Akizungumza na vyombo vya habari leo jijini Dar es salaam Meck Sadiki amesema kuwa Tanzania katika kipindi cha miaka 52 ya Uhuru imepata mafanikio makubwa ya kiuchumi, ulinzi, usalama pamoja na uhusiano wa kimataifa na kuongeza kuwa mafanikio hayo yanatokana na umoja na mshikamano ulioonyesha tangu kuasisiwa kwa taifa la Tanzania.

“Kipindi chote cha miaka 52 ya Uhuru  tumepata mafanikio makubwa sana na  ya kujivunia kiuchumi, ulinzi na usalama pamoja na uhusiano wa kimataifa, tuna kila sababu ya kuendeleza mafanikio haya”

Amesema maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru kwa mwaka 2013 kitaifa yatafanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam na kuongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete chini ya kauli mbiu isemayo “Vijana ni Nguzo ya Rasilimali Watu, Tuwaamini, Tuwawezeshe na Tuwatumie kwa Manufaa ya Taifa Letu”

Ameongeza kuwa maadhimisho ya mwaka  huu yatahudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi na kupambwa na burudani za vikundi vya ngoma za asili kutoka bara na visiwani,Gwaride maalum la vikosi vya ulinzi na Usalama, kwaya mbalimbali, bendi za muziki, maonyesho ya ndege za kijeshi na halaiki maalum.

Ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi  na kuwahi mapema wakati wa maadhimisho hayo   na kubainisha kuwa kutokana na maadalizi mazuri yaliyofanyika milango ya uwanja wa Uhuru itakuwa wazi kuanzia saa 12:30 Asubuhi.

JAY Z AONGOZA KUCHAGULIWA KUWANIA TUZO ZA 56TH GRAMMY 2014.




Rapa anayefanya vyema katika gemu ya muziki wa Hip-Hop majuu, Shawn Corey Carter(44) a.k.a Jay Z mzaliwa wa Brooklyn, Marekani ameongoza kwa kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa za Grammy ambazo  zinatarajiwa kufanyika mwezi Januari Tar 26  2014, Jay Z amechaguliwa kuwania tuzo hizo katika vipengele tisa(9) akifuatiwa na rapa Kendrick Lamar(7) na Macklemore(7), Katika tamasha la ufunguzi wa Tuzo za Grammy zilizofanyika katika ukumbi wa Starples Center, Los Angels siku ya Ijumaa zikiongozwa  na mwanamuziki nguli wa zamani LL Cool J aliweza kutaja  majina ya wasanii na Vipengele walivyochaguliwa kuwania.
full list of 2014 grammy nominees
Song Of The Year Nominees: Pink feat. Nate Ruess “Just Give Me A Reason,” “Bruno Mars “Locked Out Of Heaven,” Katy Perry “Roar,” Lorde “Royals,”Macklemore & Ryan Lewis feat. Mary Lambert “Same Love”
Best Pop Duo/Group Performance Nominees: Daft Punk feat. Pharrell “Get Lucky,” Pink feat. Nate Ruess “Just Give Me A Reason,” Justin Timberlake feat. Jay Z “Suit & Tie,” Rihanna ft. Mikky Ekko “Stay,” Robin Thicke feat. T.I. & Pharrell “Blurred Lines”
Album Of The Year Nominees: Sara Bareilles ‘The Blessed Unrest,’ Macklemore & Ryan Lewis ‘The Heist,’ Taylor Swift ‘Red,’ Kendrick Lamar ‘Good Kid, M.A.A.D. City,’ Daft Punk ‘Random Access Memories’
Best Country Album Nominees: Jason Aldean, ‘Night Train,’ Tim McGraw ‘Two Lanes of Freedom,’ Kacey Musgraves ‘Same Trailer Different Park,’ Blake Shelton ‘Based on a True Story,’ Taylor Swift ‘Red’
Best New Artist Nominees: Kendrick Lamar, Ed Sheeran, James Blake, Kacey Musgraves, Macklemore & Ryan Lewis
Record Of The Year Nominees: Bruno Mars “Locked Out Of Heaven,” Robin Thicke feat. Tip & Pharrell “Blurred Lines,” Daft Punk feat. Pharrell ”Get Lucky,” Imagine Dragons “Radioactive,” Lorde “Royals”
Best Pop Solo Performance: Sara Bareilles “Brave,” Lorde “Royals,” Bruno Mars “When I Was Your Man,” Katy Perry “Roar,” Justin Timberlake “Mirrors”
Best Pop Instrumental Album: Herb Alpert ‘Steppin’ Out,’ Boney James ‘The Beat,’ Earl Klugh ‘Handpicked,’ Dave Koz, Gerald Albright, Mindi Abair & Richard Elliot, Jeff Lorber Fusion ‘Hacienda’
Best Pop Vocal Album: Lana Del Ray ‘Paradise,’ Lorde ‘Pure Heroine,’ Bruno Mars ‘Unorthodox Jukebox,’ Justin Timberlake ‘The 20/20 Experience – The Complete Experience’
Best Dance Recording: Duke Dumont feat. A*M*E & MNEK “Need U (100%),” Calvin Harris feat. Florence Welch “Sweet Nothing,” Kaskade “Atmosphere,” Armin Van Buuren feat. Trevor Guthrie “This Is What It Feels Like,” Zedd feat. Foxes “Clarity”
Best Dance/Electronica Album: Daft Punk ‘Random Access Memories,’ Disclosure ‘Settle,’ Calvin Harris ’18 Months,’ Kaskade ‘Atmosphere,’ Pretty Lights ‘A Color Map Of The Sun’
Best Traditional Pop Vocal Album: Tony Bennett & Various Artists ‘Viva Duets,’ Michael Bublé ‘To Be Loved,’ Gloria Estefan ‘The Standards,’ Cee Lo Green ‘Cee Lo’s Magic Moment,’ Dionne Warwick ‘Now’
Best Rock Performance: Alabama Shakes “Always Alright,” David Bowie “The Stars (Are Out Tonight),” Imagine Dragons “Radioactive,” Led Zeppelin “Kashmir,” Queens Of The Stone Age “My God Is The Sun,” Jack White “I’m Shakin”
Best Metal Performance: Anthrax “T.N.T.,” Black Sabbath “God Is Dead?” Dream Theater “The Enemy Inside,” Killswitch Engage “In Due Time,” Volbeat feat. King Diamond “Room 24″
Best Rock Song: Gary Clark Jr. songwriter (Gary Clark Jr.) “Ain’t Messin ‘Round,” Dave Grohl, Paul McCartney, Krist Novoselic & Pat Smear, songwriters (Paul McCartney, Dave Grohl, Krist Novoselic, Pat Smear) “Cut Me Some Slack,” Mick Jagger & Keith Richards, songwriters (The Rolling Stones) “Doom And Gloom,” Geezer Butler, Tony Iommi & Ozzy Osbourne, songwriters (Black Sabbath) “God Is Dead?” Matthew Bellamy, songwriter (Muse) “Panic Station”
Best Rock Album: Black Sabbath ’13,’ David Bowie ‘The Next Day,’ Kings Of Leon ‘Mechanical Bull,’ Led Zeppelin ‘Celebration Day,’ Queens Of The Stone Age ‘…Like Clockwork,’ Neil Young With Crazy Horse ‘Psychedelic Pill’
Best Alternative Music Album: Neko Case ‘The Worse Things Get, The Harder I Fight, The Harder I Fight, The More I Love You,’ The National ‘Trouble Will Find Me,’ Nine Ince Nails ‘Hesitation Marks,’ Tame Impala ‘Lonerism,’ Vampire Weekend ‘Modern Vampires Of The City’
Best R&B Performance: Tamar Braxton “Love And War,” Anthony Hamilton “Best Of Me,” Hiatus Kaiyote feat. Q-Tip “Nakamarra,” Miguel feat. Kendrick Lamar “How Many Drinks?” Snarky Puppy With Lalah Hathaway “Something”
Best Traditional R&B Performance: Gary Clark Jr. “Please Come Home,” Fantasia “Get It Right,” Maysa “Quiet Fire,” Gregory Porter “Hey Laura,” Ryan Shaw “Yesterday”
Best R&B Song: Anthony Hamilton & Jairus Mozee, songwriters (Anthony Hamilton) “Best Of Me,” Tamar Braxton, Darhyl Camper, Jr., LaShawn Daniels & Makeba Riddick, songwriters (Tamar Braxton) “Love And War,” PJ Morton, songwriter (PJ Morton Featuring Stevie Wonder) “Only One,” James Fauntleroy, Jerome Harmon, Timothy Mosley & Justin Timberlake, songwriters (Justin Timberlake) “Pusher Love Girl,” Fantasia Barrino, Missy Elliott, Al Sherrod Lambert, Harmony Samuels & Kyle Stewart, songwriters (Fantasia Featuring Kelly Rowland & Missy Elliot) “Without Me”
Best Urban Contemporary Album: Tamar Braxton ‘Love And War,’ Fantasia ‘Side Effects Of You,’ Salaam Remi ‘One: In The Chamber,’ Rihanna ‘Unapologetic,’ Mack Wilds ‘New York: A Love Story’
Best R&B Album: Faith Evans ‘R&B Divas,’ Alicia Keys ‘Girl On Fire,’ John Legend ‘Love In The Future,’ Chrisette Michele ‘Better,’ TGT ‘Three Kings’
Best Rap Performance: Drake “Started From The Bottom,” Eminem “Bizerk,” Jay Z “Tom Ford,” Kendrick Lamar “Swimming Pools (Drank),” Macklemore & Ryan Lewis feat. Wanz “Thrift Shop”
Best Rap/Sung Collaboration: J. Cole feat. Miguel “Power Trip,” Jay Z feat. Beyoncé “Part II (On The Run),” Kendrick Lamar feat. Mary J. Blige “Now Or Never,” Wiz Khalifa feat. The Weeknd “Remember You,” Jay Z feat. Justin Timberlake “Holy Grail”
Best Rap Song: Tauheed Epps, Aubrey Graham, Kendrick Lamar, Rakim Mayers & Noah Shebib, songwriters (ASAP Rocky Featuring Drake, 2 Chainz & Kendrick Lamar) “F***in’ Problems,” Shawn Carter, Terius Nash, J. Harmon, Timothy Mosley, Justin Timberlake & Ernest Wilson, songwriters (Kurt Cobain, Dave Grohl & Krist Novoselic, songwriters) (Jay Z Featuring Justin Timberlake) “Holy Grail,” Christopher Breaux, Ben Bronfman, Mike Dean, Louis Johnson, Malik Jones, Elon Rutberg, Sakiya Sandifer, Che Smith, Kanye West & Cydell Young, songwriters (Anna Adamis & Gabor Presser, songwriters) (Kanye West) “New Slaves,” W. Coleman, Aubrey Graham & Noah Shebib, songwriters (Bruno Sanfilippo, songwriter) (Drake) “Started From The Bottom,” Ben Haggerty & Ryan Lewis, songwriters (Macklemore & Ryan Lewis Featuring Wanz) “Thrift Shop”
Best Rap Album: Drake ‘Nothing Was The Same,’ Jay Z ‘Magna Carta…Holy Grail,’ Kendrick Lamar ‘Good Kid, M.A.A.D City’ Macklemore & Ryan Lewis ‘The Heist,’ Kanye West ‘Yeezus’
Best Country Solo Performance: Lee Brice “I Drive Your Truck,” Hunter Hayes “I Want Crazy,” Miranda Lambert “Mama’s Broken Heart,” Darius Rucker “Wagon Wheel,” Blake Shelton “Mine Would Be You”
Best Country Duo/Group Performance: The Civil Wars “From This Valley,” Kelly Clarkson feat. Vince Gill “Don’t Rush,” Little Big Town “Your Side Of The Bed,” Tim McGraw, Taylor Swift & Keith Urban “Highway Don’t Care,” Kenny Rogers With Dolly Parton “You Can’t Make Old Friends”
Best Country Song: Taylor Swift, songwriter (Taylor Swift) “Begin Again,” Jessi Alexander, Connie Harrington & Jimmy Yeary, songwriters (Lee Brice) “I Drive Your Truck,” Brandy Clark, Shane McAnally & Kacey Musgraves, songwriters (Miranda Lambert) “Mama’s Broken Heart,” Shane McAnally, Kacey Musgraves & Josh Osborne, songwriters (Kacey Musgraves) “Merry Go ‘Round,” Jessi Alexander, Connie Harrington & Deric Ruttan, songwriters (Blake Shelton) “Mine Would Be You”
Best Country Album: Jason Aldean ‘Night Train,’ Tim McGraw ‘Two Lanes Of Freedom,’ Kacey Musgraves ‘Same Trailer Different Park,’ Blake Shelton ‘Based On A True Story,’ Taylor Swift ‘Red’
Best New Age Album: Brian Eno ‘Lux,’ Peter Kater ‘Illumination,’ Kitaro ‘Final Call,’ R. Carlos Nakai & Will Clipman ‘Awakening The Fire,’ Laura Sullivan ‘Love’s River’
Best Improvised Jazz Solo: Terence Blanchard, soloist “Don’t Run,” Paquito D’Rivera, soloist “Song For Maura” Fred Hersch, soloist “Song Without Words #4: Duet,” Donny McCaslin, soloist “Stadium Jazz,” Wayne Shorter “Orbits”
Best Jazz Vocal Album: Andy Bey ‘The World According To Andy Bey,’ Lorraine Feather ‘Attachments,’ Gregory Porter ‘Liquid Spirit,’ Cécile McLorin Salvant ‘WomanChild,’ Tierney Sutton ‘After Blue

PHOTO : SWAHILI FASHION WEEK 2013









 Credits : M.P Blog

Picture of Ze Dei : BEYONCE a.ka Bey is rocking head to toe leather and I love it! Steal her style


Beyonce

MHE. JANUARY MAKAMBA ATEMBELEA DARASA LA KISWAHILI DMV


 Naibu Waziri wa mawasiliano, sayansi na teknologia, Mhe. January Makamba akiongozana na Afisa Ubalozi Mindi Kasiga siku ya Jumamosi Dec 7, 2013 College Park Maryland, siku alipotembelea darasa la Kiswahili DMV.
 Mhe. January Makamba akisalimiana na viongozi wa Jumuiya ya Watanzania mara tu alipoingia kwenye darasa hilo Jumamosi Dec 7, 2013 College Park, Maryalnd.
 Mhe. January Makamba akipata historia fupi ya darasa hilo kutoka kwa rais wa Jumuiya Iddi Sandaly (wapili toka kushoto) siku ya Jumamosi Dec 7, 2013 Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia alipotembelea darasa hilo College Park Maryland.
 Mhe. January Makamba akisalimiana na wazazi wa watoto wa darasa la kiswahili DMV.
 Mhe. January Makamba akipata maelezo kuhusiana na watoto wa darasa la kiswahili DMV kutoka kwa katibu wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Bwn. Amos Cherehani (kulia koti jeusi).
 Watoto wa darasa la kiswahili DMV wakitoa salamu kwa mhe. January Makamba (hayupo pichani)
 Mhe. January Makamba pamoja na Afisa Ubalozi Mindi Kasiga, Rais wa Jumuiya Iddi Sandaly na mwalimu mkuu wa darasa la kiswahili wakiwa wamesimama wakati watoto wa darasa la kiswahili waliopkuwa wakiimba wimbo wa taifa.
 Watoto wa darasa la kiswahili wakimwimbia mgeni wao Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia, Mhe. January Makamba wimbo wa Taifa.
 Juu na chini baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV, watoto wa darasa la kiswahili na wazazi wakimsikizliza Mhe. January Makamba (hayupo picha) alipokua akiwathimilia hadithi watoto wa darasa la kiswahili DMV.

RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI AKITOKEA UFARANSA


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni wakati aliposimama kwa muda katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi akiwa njiani kurejea nyumbani baada ya kuhudhuria mkutano unaohusu Amani na usalama na ushirikiano wa kiuchumi kati ya Bara la Africa na Ufaransa.Kulia aliyesimama ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Balozi Amina Mohamed na kushoto ni afisa itifaki.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Balozi Amina Mohamed wakati aliposimama kwa muda katika uwanja wa ndege jijini Nairobi, Kenya alipokuwa akirejea nyumbani akitokea Paris Ufaransa ambapo alihudhuria Mkutano uliohusu Amani,Usalama na Ushirikiano wa kiuchumi kati ya Ufaransa na bara la Afrika.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Said Mec Sadik akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere muda mfupi baada y kuwasili akitokea Paris Ufaransa ambapo alihudhuria Mkutano wa Amani,Usalama na Ushirikianokati ya Afrika na Ufaransa uliomalizika jana.(picha na Freddy Maro)

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHITIMISHA MBIO ZA UHURU (UHURU MARATHON) KWENYE VIWANJA VYA LEADERS CLUB, KINONDONI, DAR


 Mshindi wa Kwanza wa Mbio ndefu za KM 42 katika Mashindano ya Uhuru Marathon,Jamin Ikai (kutoka nchini Kenya) akiwasili kwenye viwanja vya Leaders Club wakati akimaliza mbio hizo,zilizofanyika leo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania.
 Washindi wa Mbio ndefu za KM 42 katika Mashindano ya Uhuru Marathon wakiwa wamesimama mbele ya mgeni rasmi,mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao.Mshindi wa Kwanza ni Jamin Ikai (kutoka Kenya),Steven Selevestor (kutoka Jeshi la Magereza Tanzania) pamoja na Aley Sanka (Tanzania).
 Washindi wa Mbio ndefu za KM 42 (wanawake) wakiwa wakiwa wamesimama mbele ya mgeni rasmi,mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao.Mshindi wa wa Kwanza ni Thabita Kibet (kutoka Kenya),Naum Jerkosgei (Kenya) pamoja na Banoela Brigton.
 Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Mbio za Uhuru Marathon,Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal akitoa hotuba yake wakati wa maadhimisho mbio hizo zilizofanyika leo kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni Jijini Dar es Salaam leo,ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania. 
 Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Dkt. Fenella Mukangara akisoma hotuba yake kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi,wakati wa maadhimisho mbio hizo zilizofanyika leo kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni Jijini Dar es Salaam leo,ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...