NAPE AKAGUA CHUO CHA CCM CHA IHEMI MKOANI IRINGA LEO.
Msimamizi wa Chuo Cha Ihemi Simon Nchimba (kulia) akimuonyesha Nape kisima cha maji kilichopo chuoni hapo chenye urefu wa futi saba. |
Nape na Simon Nchimba wakiwa kwenye moja ya vitanda vilivyoko kwenye mabweni ya chuo cha Ihemi. |
Nape akikagua mashine ya kukata ubao, katika chuo cha Ihemi, mkoani Iringa. Wapili kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Emmanuel Mteming'ombe na maofisa wengine wa Chama. |
![]() |
Nape akimpa bendera ya CCM, mwananchi aliyeng'ang'ania kupewa bendera hiyo, msafara wa Nape ulipopita eneo la njia panda ya Chuo cha Ihemi. |
No comments:
Post a Comment