Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad Atembelewa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa

  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiagana na kiongozi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa Bw. Akinyemi Adegbola baada ya mazungumzo yao huko Ofisini Kwake Migombani Zanzibar. Kushoto ni Mjumbe wa Umoja huo ofisi ya Zanzibar bibi Njeri Kamau.
  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na ujumbe wa Umoja wa Mataifa huko Ofisini Kwake Migombani Zanzibar. Kushoto ni kiongozi wa ujumbe huo Bw. Akinyemi Adegbola.Picha, Salmin Said-Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...