Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

WAREMBO MISS DAR INTER COLLEGE WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA

Warembo wanaotarajiwa kushiriki shindano la MIss Dar Intercollege 2012 wakiangalia banda la wanyama katika makumbusho ya Taifa KILWA, .Ziara hiyo ni sehemu ya mafunzo yao kabla ya shindano hilo litakalofanyika JUNI 22 katika ukumbi huo.
Warembo wanaotarajiwa kushiriki shindano la MIss Dar Intercollege 2012 wakiangalia magari aliyowahi kutumia  baba wa Taifa Hayati Julius K.Nyerere tangu zamani mpaka kufariki kwake ambapo magari hayo yapo katika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.Ziara hiyo ni sehemu ya mafunzo yao kabla ya shindano hilo litakalofanyika JUNI 22 katika ukumbi huo.
Warembo wanaotarajiwa kushiriki shindano la MIss Dar Intercollege 2012 wakiangalia simba ambaye alionekana miaka ya nyuma .Ziara hiyo ni sehemu ya mafunzo yao kabla ya shindano hilo litakalofanyika JUNI 22 katika ukumbi huo.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...