Sheikh khamis Abdulhamid akitoa mawaidha juu ya umuhimu
na wajibu wa kutoa Zakka,katika hfala ya uzinduzi wa Shuhuli za Zakka
Zanzibar,katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja
leo,uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, |
No comments:
Post a Comment