Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa (katikati) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Naibu Katibu Mkuu wizara ya Fedha Dr. Servacius Likwelile (kulia) mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya wakufunzi wa sensa ya watu na makazi ya 2012 kwa wakufunzi wa ngazi ya kitaifa jana mjini Dodoma.Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO- Dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dr. Albina Chuwa akitoa neno la utanguzi wakati wa  ufunguzi wa mafunzo ya wakufunzi wa sensa ya watu na makazi ya 2012 kwa wakufunzi wa ngazi ya kitaifa jana mjini Dodoma.
 
Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa akimkaribisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda (hayupo pichani) kwa ajili ya kufungua mafunzo ya wakufunzi wa sensa ya watu na makazi ya 2012 kwa wakufunzi wa ngazi ya kitaifa jana mjini Dodoma.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...