Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

MASTAA AZAM FC WAKITANUA VIFUA KATIKA GYM LA KISASA CHAMAZ

Kocha Stewart akiinua nondoAsubuhi ya leo, BIN ZUBEIRY ilitembelea kambi ya Azam FC, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kuwakuta wachezaji wa timu hiyo, itakayoiwakilisha Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho la Soka Afrika mwakani wakijifua kwa mazoezi ya kujenga miili chini ya makocha wao, Waingereza, Stewart Hall na Msaidizi wake, Kalimangonga Sam Daniel Ongala kwenye gym kali na ya kisasa ya klabu hiyo, iliyopo ndani ya Uwanja wao, Chamazi. Cheki picha hizo.    
Add caption
Luckson Kakolaki
Kipre Tchetche
Said Mourad
Gaudence Mwaikimba
Zahor Pazi
Odhiambo Blackberry
Kipre Balou
Kutoka kushoto, Ibrahim Shikanda, Himid Mao na Ibrahim Mwaipopo
Kutoka kulia Jabir Aziz, Ramadhan Chombo na ...
Kali Ongala akimuelekeza Ibrahim Mwaipopo, kushoto ni Mao. Chanzo; Bin Zubeiry Blog

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...