Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

JAJI WARIOBA AKIONGEA NA WAANDISHI KUHUSU KAZI ZA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mstaafu Joseph Warioba akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa kazi za Tume hiyo leo (Jumanne, Juni 19, 2012) katika Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam. Kulia kwa Jaji Warioba ni Dkt. Salim Ahmed Salim, Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Tume hiyo.
 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mstaafu Joseph Warioba akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa kazi za Tume hiyo leo (Jumanne, Juni 19, 2012) katika Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam. Kulia kwa Jaji Warioba ni Dkt. Salim Ahmed Salim, Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Tume hiyo na kushoto ni Bw. Assaa Rashid, Katibu wa Tume.
Baadhi ya Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakifuatilia maelezo ya Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Joseph Warioba wakati akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa kazi za Tume hiyo leo (Jumanne, Juni 19, 2012) katika Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...