London, Uingereza - 08/04/2012. Serikali ya Uingereza imepiga marufuku na kuagiza maduka yote nchini humo kuziba na kufunika sigara zilizopo madukani.
Kwa mujibu wa habari kutoka serikalini zinasema "kwa kuziba na kufunika sigara zilizopo madukani kutasaidia kupunguza kishawishi cha kuvuta sigara na vilevile huenda tabia ya kuona sigara na kutaka kuvuta ikapungua."
hata hivyo baadi ya wafanyabiashara na raia wamesema "kitendo hicho hakita saidia kwani kila mvuta sigara anajua nini sigara gani anavuta."
Uamuzi huo wa serikali ya Uingereza kupiga marufuku kuweka sigara wazi madukani umekuja baada ya kampeni kubwa ya kupambana na magonjwa yanayo husiana na uvutaji wa sigara kuongezeka.
Kwa mujibu wa habari kutoka serikalini zinasema "kwa kuziba na kufunika sigara zilizopo madukani kutasaidia kupunguza kishawishi cha kuvuta sigara na vilevile huenda tabia ya kuona sigara na kutaka kuvuta ikapungua."
hata hivyo baadi ya wafanyabiashara na raia wamesema "kitendo hicho hakita saidia kwani kila mvuta sigara anajua nini sigara gani anavuta."
Uamuzi huo wa serikali ya Uingereza kupiga marufuku kuweka sigara wazi madukani umekuja baada ya kampeni kubwa ya kupambana na magonjwa yanayo husiana na uvutaji wa sigara kuongezeka.
No comments:
Post a Comment