Waziri wa Kazi,Uwezeshaji Wananchi Uchumi na Ushiriuka.Mhe Haroun Ali Suleiman, akiwaonesha waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali Nishani ya Southern and Eastern Africa Consortium for Monitering Education Quality.Taasisi inayoangalia na Kupima Ubora wa Elimu kwa Nchi 15 za Kusini na Mashariki ya Afrika. mazungumzo hayo yamefanyika katika Wizara hiyo Mwanakwerekwe Zanzibar.
Waziri wa Kazi,Uwezeshaji Wananchi Uchumi na Ushiriuka.Mhe Haroun Ali Suleiman, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kuhusiana na Kutunukiwa Nishani ya Southern and Eastern Africa Consortium for Monitering Education Quality.Taasisi inayoangalia na Kupima Ubora wa Elimu kwa Nchi 15 za Kusini na Mashariki ya Afrika. mazungumzo hayo yamefanyika katika Wizara hiyo Mwanakwerekwe Zanzibar.
Watendaji wa Wizara hiyo wakimsikiliza Mhe Waziri akitowa shukrani wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa wizara hiyo mwanakwerekwe.
No comments:
Post a Comment