Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

 Spika wa Bunge, Anne Makinda akitoka ndani ya ukumbi wa Bunge baada ya kuahirisha Kikao cha kwanza cha Mkutano wa Sita wa Bunge la Tanzania mjini Dodoma
 Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza mara baada ya kuahirishwa kwa kikao cha kwanza cha Mkutao wa sita wa Bunge mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Anne Makinda akisalimiana na Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma mara baada ya kuahirishwa kwa kikao cha kwanza cha Mkutano wa sita wa Bunge mjini humo
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (kushoto) akijadiliana jambo na Mbunge wa Kigoma Kusini, Davida Kafulila mara baada ya kuahirishwa kwa kikao cha kwanza cha Mkutano wa Sita wa Bunge mjini Dodoma 

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...