Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Taasisi ya Catherine Magige Foundation yazinduliwa jijini Arusha leo

Mbunge wa viti maalum vijana CCM mkoani Arusha  Catherine Magige akiwa na baadhi ya vijana wakibadilishana mawazo kabla ya uzinduzi  ulioenda sambamba na hafla  ya utoaji wa msaada wa baiskeli za walemavu  kutoka kwa Taasisi ya  Catherine Foundation kwenye viwanja vya ofisi ya mkuu wa wilaya ya Arusha leo Asubuhi.
Mbunge wa viti maalum Bi Catherine Maggige akisomama taarifa ya aasisi  yake ilivyoanza kazi mbele ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya na wananchi waliohudhuria uzinduzi huo wa Catherine Foundation kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Arusha leo Asubuhi
Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela akiwa na mbunge wa viti maalum Bi. Catherine Maggige wanawakabidhi zawadi ya baiskeli kwa  walemavu watatu kwa niaba ya walemavu 20 waliopewa baiskeli hizo.
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mh. John Mongela akizungumza na vyombo vya habari katika uzinduzi huo uliofanyika  jijini ArushaPicha na Mahmoud Ahmad Arusha

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...