Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja waendelea kutoa maoni kuhusu Katiba mpya

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (aliyesimama), akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakati wa mkutano ulioitishwa jana tarehe 13 Oktoba, 2012 na Tume hiyo, kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo. Wengine pichani kutoka kushoto ni Wajumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku (wa pili), Profesa Paramagamba Kabudi, Katibu wa Tume Assaa Rashid na Naibu Katibu Casmir Kyuki.

Wananchi wa Kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakifuatilia kwa makini mkutano ulioitishwa jana tarehe 13 Oktoba, 2012 na  Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo wenye malengo ya kukusanya maoni yao kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba mpya. 

Wananchi wa Kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja,  wakifuatilia kwa makini mkutano ulioitishwa jana tarehe 13. Oktoba, 2012 na  Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo kwa ajili ya kukusanya maoni yao kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba. 

Akina mama wa Kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja,  wakifuatilia kwa makini mkutano ulioitishwa jana tarehe 13. Oktoba, 2012 na  Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo kwa ajili ya kukusanya maoni yao kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba. 

Wananchi wa Kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja,  wakifuatilia kwa makini mkutano ulioitishwa jana tarehe 13. Oktoba, 2012 na  Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo kwa ajili ya kukusanya maoni yao kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba. 

Said Haji Makame (21), mkazi wa kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya, wakati wa mkutano ulioitishwa jana tarehe 13. Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.

Yusuph Juma (60), mkazi wa Kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa jana tarehe 13. OOktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.

Tatu Maalim Mganga (65), mkazi wa kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa jana tarehe 13 Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.
Riziki Khamis Shukuru (20), mkazi wa kijiji cha Kidombo, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa jana tarehe 13 Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo. (Picha zote na Ismail Ngayonga, Ofisa habari wa Tume ya Katiba)

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...