Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

WATU WANANICHUKULIA POUWA LAKINI NATISHA..

 

JOAN Philipo amejigamba kuwa pamoja na udogo wake, ataliteka soko la filamu kwa sababu amejipanga kufanya kazi tena kwa nguvu moja.

Ninaamini kuwa haya ndio maisha yangu na ili kudumu katika tasnia ya filamu, ni lazima niwe makini. Najua kila mtu kwa sasa anatamani kuigiza na kuwa nyota," alisema.

"Watu wanapenda kuandikwa sana katika vyombo vya habari, lakini kwangu si hivyo niandikwe kwa ajili ya kazi, nia yangu nikuwapoteza wakongwe wote waliopo katika fani."

Msanii huyo mwenye umri mdogo anajivunia kuwa miongoni mwa wasanii walioibuliwa na mwigizaji na mwongozaji wa filamu za Swahiliwood, Rose Ndauka, na anasema alipata urahisi wa kuigiza kwa sababu filamu yake ya kwanza kuigiza aliongozwa na mwanamke.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...