Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

WANACHAMA WA SIMBA WACHANGIA SH. MILIONI 36 KUANZA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO BOKO

 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, akichangisha fedha kutoka kwa wanachama wa klabu hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Wanachama uliofanyika jijini Dar es Salaam jana. Jumla ya sh. milioni 36 zilipatanika kwa ajili ya mtaji wa ujenzi wa Uwanja wa michezo huko Boko nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam.
Kocha wa Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovi, akizungumza mbele ya wanachama wa Simba, wakati wa mkutano wa Klabu hiyo.
 Baadhi ya wanachama wa simba wakiwa katika mkutano huo.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...