Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Afanya Ziara Maalum katika Mikoa Ya Kusini na Kaskazini Pemba

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakisalimiana na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba jana akiwa katika ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana Kaimu Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Dk Salim Ahmed Salim na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba jana akiwa katika ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...