Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

JK ALIPOSHIRIKI MSIBA WA RAIS WA GHANA MILLS

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSSLCmwM5M88MJR5jsD6YWAGTVospDV4gA2WkFnt1NO-d3KqbIVdZXkJvW-3XPvJktIIHzrf-Bd4vbdGTpxdkpAYnYPHVh-t_O3Y6XpL89Z7MrxusHDGMTsJQaLQXytpD0I7tVvYukAF8/s1600/g1.jpg
  Jukwaa kuu katika uwanja wa Independence Square wakati wa Shughuli mbalimbali za  mazishi za aliyekuwa Rais wa Ghana Profesa John Evans Atta Mills katika uwanja wa Independence Square jijini Accra leo Agosti 10, 2o12
  Shughuli mbalimbali za  mazishi za aliyekuwa Rais wa Ghana Profesa John Evans Atta Mills katika uwanja wa Independence Square jijini Accra leo Agosti 10, 2o12



 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wenzie  baada ya shughuli ya mazishi ya Rais John Evans Atta Mills wa Ghana jijini Accra leo Agosti 10, 2012


  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo wakati shughuli ya mazishi ya Rais John Evans Atta Mills wa Ghana katika ukumbi wa Mikutano wa Ghana jijini Accra leo Agosti 10, 2012.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima kwa aliyekuwa Rais wa Ghana Marehemu Profesa John Evans Atta Mills katika ukumbi wa Mikutano wa Ghana jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...