Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

VODACOM TANZANIA WAKABIDHI ZAWADI ZA LIGI KUU

Aden Rage Mwenyekiti wa Simba akipokea hundi ya Simba SC kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa. Picha Kwa hisani ya Bongostazblog

Mwesigwa katibu Mkuu wa Yanga akipokea hundi ya Yanga  
 kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa
Mzee Said wa Azam FC akipokea hundi ya Azam FC kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa
Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah kulia, katikati Mkuu wa Masoko Vodacom Tanzania Kevin Twisa wakiwa na Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye
Wadau wa Yanga, katika picha ya pamoja na Mh Sumaye
Wadau wa Simba SC katika picha ya pamoja na Mh Sumaye

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...