Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Kanda ya Ziwa, Patrick Kisaka (kushoto) akikabhi funguo za bajaj kwa Mariamu Karumba,mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha Mtakatifu Agustino (SAUT)  ambaye ni mshindi wa pikipiki aina ya bajaj ambayo ameshinda kupitia promosheni ya "vumbua  hazina chini ya kizibo"inayoendeshwa na kampuni hiyo.
 MAKABIDHIANO YA ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO NA SBL YALIYOFANYIKA NYEGEZI JIJINI MWANZA JANA. HAWA NI WASHINDI WA PROMOMOSHENI HII KATIKA DROO YA NNE.
ALL REGURDS OLE
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Kanda ya Ziwa, Patrick Kisaka (kulia) akitoa maelezo mafupi muda mfupi kabla ya kukabidhi zawadi ya pikipiki aina ya bajaj kwa Mariam Karumba,mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha Mtakatifu Agustino (SAUT)  ambaye ni mshindi wa promosheni ya vumbua hazina chini ya kizibo inayoendeshwa na kampuni hiyo. 
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Kanda ya Ziwa, Patrick Kisaka (kushoto) akikabhi funguo za bajaj kwa Mariamu Karumba,mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha Mtakatifu Agustino (SAUT)  ambaye ni mshindi wa pikipiki aina ya bajaj ambayo ameshinda kupitia promosheni ya "vumbua  hazina chini ya kizibo"inayoendeshwa na kampuni hiyo.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...