Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Rais Dk. Shein akutana na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Mikoa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mikoa ikiwa ni utaratibu wake wa kuzungumza na kila wizara katika utekelezaji wa kazi katika Mikoa.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mikoa ikiwa ni utaratibu wake wa kuzungumza na kila wizara katika utekelezaji wa kazi katika Mikoa,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...