Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

EDWARD LOWASA AMPONGEZA KIDUNDA AKIWA DUBAI

KATIBU wa shirikisho la ngumi za Ridhaa nchini BFT Makore Mashaga pamoja na makocha na viongozi wa BFT kwa pamoja wamempongeza bondia Selemani kidunda kwa kuteuliwa kushiriki mashindano ya Olimpiki yanayotarajia kufanyika hivi karibuni 
 
akizungumza katika afla hiyo ya kumpongeza na kumtia moyo kuendelea na mazoezi kwa ajili ya michunano ya olipiki inayokuja karibuni aidha Makamu mwenyeki wa BFT Michael Changalawe amemshukuli Waziri Mkuu Mstaafu Eduward Lowasa kwa kumpatia Kidunda Dola 100 baada ya kukutana Dubai wakati wanarudi Tanzania
 
kambi ya ngumi inaingia kambini kesho tarehe 10 katika uwanja wa ndani wa taifa kwa ajili ya mazoezi zaidi mbali na mashindano hayo timu hiyo imeomba wafadhili wajitokeze kwa ajili ya kuipa sapoti ambapo wanatarajia kwenda botswana kwa ajili ya kuweka kambi ya bondia Kidunda na wengine kupima Viwango vyao

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...