EDWARD LOWASA AMPONGEZA KIDUNDA AKIWA DUBAI
KATIBU wa shirikisho la ngumi za Ridhaa nchini BFT Makore Mashaga pamoja na makocha na viongozi wa BFT kwa pamoja wamempongeza bondia Selemani kidunda kwa kuteuliwa kushiriki mashindano ya Olimpiki yanayotarajia kufanyika hivi karibuni
akizungumza katika afla hiyo ya kumpongeza na kumtia moyo kuendelea na mazoezi kwa ajili ya michunano ya olipiki inayokuja karibuni aidha Makamu mwenyeki wa BFT Michael Changalawe amemshukuli Waziri Mkuu Mstaafu Eduward Lowasa kwa kumpatia Kidunda Dola 100 baada ya kukutana Dubai wakati wanarudi Tanzania
kambi ya ngumi inaingia kambini kesho tarehe 10 katika uwanja wa ndani wa taifa kwa ajili ya mazoezi zaidi mbali na mashindano hayo timu hiyo imeomba wafadhili wajitokeze kwa ajili ya kuipa sapoti ambapo wanatarajia kwenda botswana kwa ajili ya kuweka kambi ya bondia Kidunda na wengine kupima Viwango vyao
No comments:
Post a Comment