Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.
Steven Charles Kanumba "The Great".
Kwa sasa mwili wa marehemu umewasili katika Viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es Salaam, na ibada ya kumuaga inaendelea. Mwili wa marehemu umepokelewa Viwanja vya Leaders ukitanguliwa na mapokezi ya wazazi wake, viongozi mbalimbali wa serikali ambao juu yao kabisa alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Saa 4:49 asubuhi: Ratiba ya mwanzo imebadilika kidogo, kwa sasa baadhi ya viongozi wa serikali wanaaga mwili wa marehemu.....kwa maelezo zaidi bofya hapa

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...