Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

Advertise your Business here at very cheap price Contact us through +255 712 455 139 or +255 687 233 209 your all welcome.

INI EDO ALA KIAPO CHA KUFA NA KUPONA..



Mwigizaji huyo anasema ingawa ndoa yake ni ngumu kwa kuwa mume anaishi Marekani na yeye Nigeria, anajitahidi kwa nguvu zote kuhakikisha haiyumbi.

Siyo rahisi kuimudu ndoa ya aina hii, lakini nimejiwekea mipaka ya kazi na maisha binafsi, unapokuwa muda wa kupiga kazi nafanya hivyo na unapofika wa kuwa na mume wangu, nakwea pipa kumfuata, anasema Edo.

Anaongeza kuwa pamoja na kuwa anatumia nguvu nyingi kuifanya ndoa yake idumu, lakini anashukuru kwa kupata mume muelewa ambaye anapohisi kazidiwa na kazi huwa anamfuata Nigeria kuwa naye pamoja.

Edo ameongeza kuwa ni miaka mitatu sasa tangu afunge ndoa na mwanamume huyo kwa hiyo kilichopo katika mpango ni kutafuta mtoto na kuanzisha familia.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...