KISUMA BAR YAIBUKA KIDEDEA MASHINDANO YA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA DAR 2012
Mchomaji nyama mkuu wa Jiko la Baa ya Kisuma, Temeke, Dar es Salaam, Jerome Kavishe akiwa amebebwa na wafanyakazi wa baa hiyo, baada jiko hilo kuibuka wa kwanza katika mashindano ya Safari Lager Nyama Choma kwa Mkoa wa Dar es Salaam. Alizawadiwa cheti na sh. mil 1,000,000 katika kilele kilichofanyika Jumapili kwenye viwanja vya Leaders Club, Kinondoni. Washindi wa pili ni Bar ya Fyatanga, ya Tatu Titanic, ya nne Meeda na wa mwisho ni Play Time. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA) Mrema wa Kisuma Bar akiandaa ndafu wakati wa mashindano hayo Uchomaji nyama unaotakiwa Mshindi akionesha fedha na cheti , Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo wadhamini wa mashindano hayo Ilikuwa ni cheleko cheleko kwa wafanyakazi wa Kisuma Bar
Wafanyakazi wa Kisuma wakizidi kuonesha manjonjo Mmoja wa wafanyakazi wa Kisuma Bar, akicheza huku akiwa na nyama choma mkononi Mambo ya Meeda Baadhi ya wakazi wa Jiji wakijichana nyama choma na kupata vinywa vinavyozalishwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL)
Majaji wakionja nyama kabla ya kuamua mshindi ni nani. Kulia i ni Abdalah Wakulichombe na Lawrence Salvi Maandalizi ya nyama choma Akina dada wakisuburi nyama choma Jamani mnaona nyama inavyochomwa? Nyama choma ikiandaliwa katika banda la Bar ya Play Time, iliyoshika nafasi ya mwisho Sehemu ya watu waliofika kushuhudia mpambano huo Kila mchomaji nyama alikuwa bize kuhakikisha anashinda Ndizi zikiwa zimeandaliwa vizuri Muhidini Issa Michuzi hakukosa katika tukio hilo, kama anavyoonekana akiwinda kuwapiga picha mbuzi waliofika kushuhudia mashindano hayo ya nyama choma Mmoja wa washindi akifurahia kupata cheti na fedha Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Michezo Wilaya ya Kinondoni,Said Mbwecha akimkabidhi zawadi mmoja wa washindi. Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.
Jamaa wakijichana nyama choma iliyoandaliwa vizuri
Wafanyakazi wa Kisuma wakizidi kuonesha manjonjo Mmoja wa wafanyakazi wa Kisuma Bar, akicheza huku akiwa na nyama choma mkononi Mambo ya Meeda Baadhi ya wakazi wa Jiji wakijichana nyama choma na kupata vinywa vinavyozalishwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL)
Majaji wakionja nyama kabla ya kuamua mshindi ni nani. Kulia i ni Abdalah Wakulichombe na Lawrence Salvi Maandalizi ya nyama choma Akina dada wakisuburi nyama choma Jamani mnaona nyama inavyochomwa? Nyama choma ikiandaliwa katika banda la Bar ya Play Time, iliyoshika nafasi ya mwisho Sehemu ya watu waliofika kushuhudia mpambano huo Kila mchomaji nyama alikuwa bize kuhakikisha anashinda Ndizi zikiwa zimeandaliwa vizuri Muhidini Issa Michuzi hakukosa katika tukio hilo, kama anavyoonekana akiwinda kuwapiga picha mbuzi waliofika kushuhudia mashindano hayo ya nyama choma Mmoja wa washindi akifurahia kupata cheti na fedha Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Michezo Wilaya ya Kinondoni,Said Mbwecha akimkabidhi zawadi mmoja wa washindi. Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.
Jamaa wakijichana nyama choma iliyoandaliwa vizuri
No comments:
Post a Comment